Tuesday, June 28, 2011

* Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim SEIF SHARIFF HAMAD akutana na Balozi wa Marekani hapa nchini ALFONSO LENHARDT


Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Alfonso Lenhardt ofisini kwake Migombani ambapo pamoja na mambo mengine aliiomba Marekani kuunga mkono juhudi za Serikali ya Zanzibar katika vita dhidi ya uingizaji na utumiaji wa madawa ya kulevya hapa nchini.

No comments:

Post a Comment