Tuesday, June 28, 2011

* Makamu wa Rais Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL kwa Nyakati tofauti akutana na Mabalozi kutoka Nchi za Kenya, Sudan pamoja na Zambia katika Ikulu ya Mjini Dar es Salaam



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dakta Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Sudan Nchini Tanzania, Abdelbagi Hamdan Kabeir wakati alipomtembelea ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam na kufanya mazungumzo.

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dakta Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, John Mutinda Mutiso, wakati alipofika kumtembelea na kufanya mazungumzo ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam  Kushoto ni Msaidizi wa Balozi, Muthomi Muithiga.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa Zambia nchini Tanzania Mavis Lengalenga, baada ya mazungumzo wakati alipomtembelea ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment