Wednesday, June 29, 2011

* Makamu wa Rais Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL amekutana na Balozi wa VIETNAM NGUYEN DUY THIEN katika Ikulu ya Mjini Dar es Salaam


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dakta Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi ya picha kutoka kwa Balozi wa Vietnam nchini Tanzania, Nguyen Duy Thien, wakati alipomtembelea ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment