Friday, December 23, 2011

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein afungua Masjid Rashidin


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk ALI MOHAMMED SHEIN akiufungua Masjid Rashidin wa Dole Wilaya ya Magharibi mara baada ya kuwasili katika maeneo ya msikiti huo Uliopo Kijijini hapo.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na waumini wa Dini ya Kiislamu wa Dole Mkoa wa Mjini Magharibi mara baada ya kuufungua msikiti wa Masjid Rashidin.

No comments:

Post a Comment