Saturday, December 24, 2011

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein ahudhuria Mahafali ya 7 SUZA


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambae pia ni mkuu wa Chuo kikuu cha taifa SUZA Dakta ALI MOHAMMED SHEIN akimtunuku shahada ya uzamivu ya heshima ya chuo hicho, Rais Mstaafu wa Zanzibar Dakta AMANI ABEID KARUME wakati wa sherehe za mahafali ya 7 ya chuo hicho katika viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment