Tuesday, December 13, 2011

* Dakta Jakaya Kikwete atembelea maonesho ya miaka 50 ya Uhuru ndani ya Viwanja vya Saba saba


Rais JAKAYA KIKWETE akisaini kitabu cha wageni katika banda la Benki Kuu ya Tanzania BOT.


Rais JAKAYA KIKWETE akiwa ndani ya Banda la Mamlaka ya mapato Tanzania TRA.


Rais JAKAYA KIKWETE akipata maelezo ya mashine ya kisasa ya kufyatulia matofali kwenye  banda la Jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ.


Rais JAKAYA KIKWETE akiongea na wanafunzi wa Sekondari ya VERSITY kuhusu maabara ya Sayansi.
.

Rais JAKAYA KIKWETE akitembelea bustani ya wanyama pori katika banda la Wizara ya Maliasili na utalii.

No comments:

Post a Comment