Friday, November 18, 2011

* Balozi wa kinywaji cha Hennessy awaeleza wanahabari kuhusu maajabu ya Hennessy XO


Balozi wa kinywaji cha Hennessy Bwana CYRILLE GAUTIER'S anayeishi katika ubingwa wa dunia ya maajabu ya Hennessy nchini Ufaransa akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akielezea juu ya kinywaji cha Hennessy.


Balozi wa Hennessy Bwana CYRILLE GAUTIER'S akiwaonyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) aina ya kinywaji cha Hennessy XO kinachotengenezwa nchini Ufaransa na kusambazwa kote Barani Afrika.

No comments:

Post a Comment