Saturday, November 26, 2011

* Mwakilishi wa UNDP amaliza muda wake wa kazi hapa nchini


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akisalimiana na mwakilishi wa Shirika la maendeleo la umoja wa mataifa UNDP anayeishi Visiwani humo, SORO KARNA aliyefika Ikulu ya Mjini Zanzibar kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wake wa Kazi hapa nchini.

Rais wa Zanzibar Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na mwakilishi wa UNDP Bwana SORO KARNA aliyefika Ikulu ya Mjini Zanzibar kumuaga Rais.

No comments:

Post a Comment