Saturday, November 26, 2011

* Mahafali ya Pili ya Chuo kikuu cha Dodoma UDOM yafana


Kiongozi wa timu ya Viongozi wa Juu wa UDOM wakiwa katika Maandamano ya kuelekea kwenye Mahafali ya Chuo Kikuu cha Dodoma.


Baadhi ya Viongozi chuo kikuu cha Dodoma wakiwa tayari kwenye Maandamano kuelekea kwenye Mahafali ya Pili ya chuo hicho.


Viongozi wa chuo kikuu cha Dodoma wakiongozwa na Mkuu wa chuo hicho Rais Mstaafu wa awamu ya tatu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, BENJAMIN WILLIAM MKAPA wakiwa wamesimama wakati wimbo wa Taifa unaimbwa katika Mahafali ya Chuo Kikuu Cha Dodoma UDOM


Baadhi ya wahitimu wa Shahada ya kwanza ya Sosholojia wakiwa katika furaha Mara baada ya kutunukiwa Shahada zao.

No comments:

Post a Comment