Friday, November 11, 2011

* Rais Dakta Jakaya Kikwete ahudhuria mkutano wa majadiliano ya Sekta Binafsi na Umma


Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akihutubia mkutano wa majadiliano ya sekta za umma-na-binafsi katika kusawazisha uwiano wa kodi kwa nchi za Afrika Mashariki ambao umefanyika Jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Benki kuu ya Tanzania.


Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akiwasili katika ufunguzi wa majadilino ya sekta za umma-na-binafsi, huku akisindikizwa na Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki SAMWEL SITTA.

No comments:

Post a Comment