Friday, November 11, 2011

* Rais Dakta Jakaya Kikwete afunga mkutano wa uwekezaji katika Sekta ya Kilimo


Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akifunga Mkutano wa Kazi uliojadili Mpango wa Uwekezaji Katika Sekta ya Kilimo na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta hiyo wakiwemo mabalozi zaidi ya 15, wawakilishi wa taasisi za kimataifa, Mawaziri na Viongozi kadhaa kutoka Serikalini pamoja na wadau wa sekta ya umma.


Rais Dkt JAKAYA KIKWETE akizungumza na wadau wa maendeleo baada ya kufunga Mkutano wa Kazi uliojadili Mpango wa Uwekezaji Katika Sekta ya Kilimo na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta hiyo.

No comments:

Post a Comment