Thursday, November 10, 2011

* Makamu wa Rais Dakta Gharib Bilal aongoza mkutano wa Uwekezaji wa Chakula na Kilimo


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL akizungumza wakati wa Mkutano wa Uwekezaji wa Chakula na Kilimo ambao umefanyika Jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa JUMANNE MAGHEMBE, akizungumza wakati wa Mkutano wa Uwekezaji wa Chakula na Kilimo.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt GHARIB BILAL, akiteta jambo na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa JUMANNE MAGHEMBE wakati alipokuwa akiongoza Mkutano wa Uwekezaji wa Chakula na Kilimo ambao umefanyika  Jijini Dar es Salaam.


Makamu wa Rais, Dkt GHARIB BILAL, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano wa Uwekezaji wa Chakula na kilimo, baada ya kuongoza mkutano huo ambao unafanyika Jijini Dar es Salaam kwa muda wa siku mbili.

No comments:

Post a Comment