Tuesday, November 22, 2011

Kikao cha kamati kuu CC ya chama cha Mapinduzi CCM kinaendelea Mjini Dodoma



Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa wa chama hicho wakisubiri kuanza kwa kikao ambacho kinaingia siku ya pili mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment