Friday, November 18, 2011

* Mke wa makamu wa Rais wa Tanzania Mama Asha Bilal ahudhuria maadhimisho ya miaka 50 ya taasisi ya Alliance Francaise.


Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Mama ASHA BILAL akisoma Hotuba yake wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Taasisi ya Alliance Francaise Jijini Dar es Salaam Tanzania,.iliyofanyika katika Ukumbi wa Alliance Francaise, Katikati ni Balozi wa Ufaransa hapa nchini, MARCEL ESCURE,kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, JULIA GIANNETTI.


Mke wa Makamu wa Rais Mama ASHA BILAL akizungumza jambo na Balozi wa Ufaransa, MARCEL ESCURE, wakati alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe za maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Taasisi ya Alliance Francaise.

No comments:

Post a Comment