Tuesday, November 15, 2011

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein akutana na wataalam wa Sekta ya Maji


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na wataalam wanaohusiana na sekta ya maji walipofika katika ukumbi wa mikutano wa jumuiya ya wafanya biashara, (kulia) ni Mel STEWART OBE, na PETER JACKSON,mazungumzo hayo yalifuatia baada ya makubaliano yaliyofanyika na Rais wa Zanzibar na Kiongozi wa Sharjah Sheikh Sultan MOHAMMED Al QASIMI, juu ya mashirikiano katika vyanzo vya maji safi na salama Zanzibar.

No comments:

Post a Comment