Tuesday, November 15, 2011

* Makamu wa Rais Dakta Mohammed Bilal apokea madai ya wanaharakati kuhusu mabadiliko ya Tabia Nchi


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL akipokea Madai ya Wananchi ya Namna ya kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia nchi kutoka kwa Mwanaharakati wa Mabadiliko ya tabia Nchi LAWRENCE CHUMA wakati wa Kongamano la Msafara wa kuelekea katika Mkutano wa Mabadiliko ya Tabia Nchi unaotarajia kufanyika Durban, Afrika Kusini mwezi ujao.


Makamu wa Rais, Dkt MOHAMMED BILAL akizungumza wakati wa Kongamano la Msafara wa kuelekea katika mkutano wa mabadfiliko ya Tabia Nchi utakaofanyika Durban, Afrika Kusini.

No comments:

Post a Comment