Wednesday, January 4, 2012

Chama cha Wananchi CUF kimemfukuza uanachama Hamad Rashid Mohammed pamoja na wenzake watatu

Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi CUF limeamua kwa wingi wa kura kumfukuza mmoja wa waasisi wa chama hicho na mwanasiasa mkongwe, mbunge wa Wawi, HAMAD RASHID MOHAMMED, pamoja na wenzake watatu.

Wanachama hao wakiongozwa na RASHID wametiwa hatiani na Baraza hilo kwa kuendesha njama za kukivuruga chama hicho.
Hamad Rashid Mohammed

No comments:

Post a Comment