Friday, January 13, 2012

* Rais Jakaya Kikwete na Mkewe mama Salma wameiaga miili ya wanajeshi wawili waliofariki Dunia hivi karibuni Jijini Dar es Salaam


Rais JAKAYA KIKWETE na mkewe mama SALMA KIKWETE wakitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Kamishna wa Magereza ELIAS MTIGE NKUKU,aliyefariki juzi kabla ya kusafirishwa kwenda kwao mkoani Singida, Shughuli ya kumuaga imefanyika katika bwalo la jeshi la Magereza Ukonga jijini Dar es salaam.


Rais JAKAYA KIKWETE na mkewe mama SALMA KIKWETE wakitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Kanali PASTORY KAMUGISHA wa JWTZ aliyefariki juzi kabla ya kusafirishwa kwenda kwao mkoani Kagera, Shughuli ya kumuaga marehemu imefanyika katika kambi ya jeshi ya Lugalo Jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment