Wednesday, January 18, 2012

* Ujumbe wa Abort Fund wamtembelea Makamu wa Rais Dakta Mohammed Bilal



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL akizungumza na ujumbe kutoka Abort Fund, ANDY WILSON katikati na Dkt AYOUB MAGIMBA, wakati walipomtembelea ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment