Saturday, January 7, 2012

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein azindua Jengo la Bodi ya Mapato la Zanzibar ZRB


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Jengo la Bodi ya Mapato Zanzibar ZRB huko Mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar ikiwa ni shamra shamra za miaka 48 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akiuliza suala kwa kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar MOHAMMED HASHIM wakatiwa uzinduzi wa jengo la Bodi hiyo huko Mazizini Nje ya Mji waZanzibar.


Baadhi ya Mabalozi na Viongozi walioalikwa katika sherehe ya Uzinduzi wa Jengo la Bodi ya Mapato Zanzibar ZRB hukoMazizini Nje ya Mji wa Zanzibar,ikiwa ni shamra shamra za miaka 48 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.

No comments:

Post a Comment