Sunday, January 1, 2012

* Rais Jakaya Kikwete asherehekea mkesha wa mwaka mpya 2012 katika Kijiji cha Msoga, wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani



Rais JAKAYA KIKWETE akisalimiana na baadhi ya wakazi wa kijiji cha Msoga wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani alipojumuika nao wanakijiji wenzake kuuaga mwaka 2011 na kuupokea mwaka 2012 kwa mkesha uliopambwa na ngoma za utamaduni na fashi fashi.



Fashi fashi ziking'arisha anga ya kijiji cha Msoga, wilayani Bagamoyo, Mkoa wa Pwani ambako Rais JAKAYA KIKWETE alijumuika na wanakijiji wenzake kuuaga mwaka 2011 na kuupokea mwaka 2012 kwa mkesha uliopambwa na ngoma za utamaduni na fashi fashi.

No comments:

Post a Comment