Tuesday, January 24, 2012

* Rais wa Zanzibar Dakta Ali Shein akutana na wizara ya kazi pamoja na Afya kwa nyakati tofauti


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI MOHAMMED SHEIN alipokuwa akizungumza na watendaji wa Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati, Ikulu Mjini Zanzibar katika mpangilio wake wa kuzungumza na kila Wizara ya Serikali ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.



Baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji naNishati, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI SHEIN alipokuwa akizungumza na watendaji hao Ikulu Mjini Zanzibar.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI SHEIN alipokuwa akizungumza na watendaji wa Wizara Afya katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar katika mpangilio wake wa kufanya mazungumzo na kila Wizara ya Serikali yake.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI SHEIN akizungumza na watendaji wa Wizara Afya, Ikulu Mjini Zanzibar ukiwa ni mpangilio wake wa kuzungumza na kila Wizara ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

No comments:

Post a Comment