Thursday, January 12, 2012

* Kamati kuu ya CCM Taifa yamchagua Mohammed Raza kuwania nafasi ya Uwakilishi wa Jimbo la Uzini, wilaya ya kati Unguja

Mohammed Raza, Kada wa Siku nyingi wa chama cha Mapinduzi CCM




Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt JAKAYA MRISHO KIKWETE (katikati) akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa, katika ukumbi wa chama hicho Kisiwandui Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment