Thursday, January 12, 2012

* Maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar yafanyika Visiwani humo


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akizungumza na wananchi wa Zanzibar katika kilele cha miaka 48 ya mapinduzi matukufu ya Visiwa hivyo.


Rais wa Zanzibar  Dkt ALI MOHAMMED SHEIN akikagua gwaride la vikosi vya ulinzi wakati wa Sherehe za kutimia kwa miaka 48 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zilizofanyika katika uwanja wa Amaan.







Askari wa Kikosi cha JWTZ wenda kwa miguu kikipita mbele Rais wa Zanzibar Dkt ALI MOHAMMED SHEIN na kutoa heshima kwa mwendo wa kurukaruka wakati wa sherehe za Kilele cha kutimia Miaka 48 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar


Askari wa Kikosi cha Polisi FFU kikipita mbele kwa kutoa heshima ya gwaride mwendo wa pole katika kilele cha miaka 48 ya Mapinduzi Zanzibar zilizofanyika jana katika uwanja wa Amaan Mjini Zanzibar.




Wananchi waliohudhuria katika sherehe za kutimia miaka 48 ya mapinduzi ya Zanzibar wakifuatilia kwa makini harakati za sherehe zinavyoendelea katika uwanja wa amaan Mjini Zanzibar.


Wananchi wakishuhudia mizinga 21 ikipigwa

No comments:

Post a Comment