Monday, January 2, 2012

*Dakta Mwinyihaji Makame akutana na wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki


Waziri wa nchi Ofisi ya Rais na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt MWINYIHAJI MAKAME alipokuwa akizungumza na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki walipofika ofisini kwake Ikulu Mjini Zanzibar ,Wabunge hao walisisitizia juu ya wananchi kupewa elimu ya kutosha kuhusu Jumuiya hiyo na shughuli zake kwa wajumbe,kutoka Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Uratibu wa Wazanzibari wanaoishi Ughaibuni KHAMIS ALI, Mbunge Dkt SAID GHARIB BILAL na Mbunge Bi SEPTUU MOHAMMED.

No comments:

Post a Comment