Tuesday, January 24, 2012

* Makamu wa Rais Dkt Mohammed Bilal Ziarani Mkoa wa Tanga, akagua ukuta wa kuzuia maji ya Bahari.


Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt MOHAMMED GHARIB BILAL akikata utepe kuzindua rasmi Jengo la Ofisi ya Idara ya Maji, lililopo Wilaya ya Pangani, wakati alipoanza ziara yake ya Mkoa wa Tanga Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, CHIKU GALAWA (kushoto) ni Mkurugenzi wa Maji wa wilaya hiyo, MOHAMMED HAMIS.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt MOHAMMED BILAL, akisikiliza maelezo kuhusu ukuta huo unaozuia maji ya Bahari unaobomoka kutokana na mabadiliko ya Tabia nchi na kutishia amani ya wakazi wa maeneo hayo.

No comments:

Post a Comment