Thursday, January 19, 2012

* Rais Jakaya Kikwete na Dakta Mohammed Bilal waomboleza kifo cha mbunge wa Arumeru Mashariki, Jeremiah Sumari

Rais JAKAYA KIKWETE akiweka saini kitabu cha maombolezo.


 Makamu wa Rais Dakta MOHAMMED GHARIB BILAL akiweka saini kitabu maombolezo.



Picha mbili tofauti zikiwaonesha Rais JAKAYA KIKWETE pamoja na Makamu wake Dakta MOHAMMED GHARIB bilal wakitoa Pole kwa familia ya Marehemu JEREMIAH SUMARI aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ambae amefariki dunia kutokana maradhi ya kisukari.

No comments:

Post a Comment